Shabiki maarufu wa Yanga, Mack Yanga akiwa mwenye huzuni Aprili 29, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam baada ya timu yake kufungwa 1-0 na mahasimu, Simba SC. Huzuni imetawala miongoni mwa mashabiki na wapenzi wa Yanga SC kwa sasa baada ya kupokonywa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara na watani wao hao wa jadi.
Boeing settles with a man whose family died in a 737 Max crash in Ethiopia
-
CHICAGO (AP) — Boeing reached a settlement Friday with a Canadian man whose
wife and three children were killed in a deadly 2019 crash in Ethiopia,
avertin...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment