MAREFA WA LEO WALIVYOWAUDHI NA KUWASONONESHA WAPENZI WA YANGA MECHI NA RUVU
Shabiki wa Yanga akipiga kelele kwa hisia na jazba kali dhidi ya marefa wa mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya timu yao na Ruvu Shooting FC ya Pwani uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Uhuru, zamani Taifa mjini Dar es Salaam
Mashabiki wengine hawa wakiwaporomoshea maneno makali marefa
Na akina baba nao hawakuwa nyuma katika vita hiyo. Jamaa wa kulia naye kakunja ngumi
Bwana mkubwa huyu na wanawawe aliishia kustaajabu tu
Akina mama hawa kama wamemwagiwa maji
Mashabiki wengine wakiwashambulia kwa maneno marefa
Kushoto kwa masikitiko makubwa amejifunika kanga na wa kulia akajifunika kofia asione maudhi ya refa, huku shoga yao katikati 'akirusha povu'
Katikati mwanamama huyu akiwachamba marefa huku akinababa wakiangalia tu kwa hasira
Ilikuwa huzuni leo kwa mashabiki wa Yanga leo uwanja wa Uhuru
Lakini kwa mashabiki wachache wa mahasimu wao, Simba SC waliojitokeza uwanjani hapo ilikuwa furaha namna hii
Ekiti PDP: No weak candidate for 2026 guber race
-
From Priscilla Ediare, Ado-Ekiti As the race for the 2026 governorship
election gathers momentum in Ekiti State, the Peoples Democratic Party
(PDP) has s...
0 comments:
Post a Comment