Mshambuliaji Mfaransa wa Chelsea, Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia timu yake ya taifa bao la kwanza dakika ya 40 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Jamhuri ya Ireland usiku wa jana katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na Kombe la Dunia Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Bao la pili la timu ya Didier Deschamps lilifungwa na Nabil Fekir anayetakiwa na Liverpool dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Star NFL rookie reveals surprising way he plans to spend his
record-breaking $53m first contract
-
The highly-rated Love was selected No. 3 overall by the Cardinals out of
Notre Dame in last month's NFL Draft and on Friday he formally signed his
four-yea...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment