Kiungo wa Yanga, Paul Godfrey akimtoka kiungo wa Mbao FC, Mrundi Yussuf Ndikumana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 1-0. 
Mshambuliaji wa Yanga SC, Matheo Anthony akimtoka beki wa Mbao FC, David Mwasa 
Mshambuliaji wa Mbao FC, Emmanuel Mbuyekure akipiga shuti mbele ya kiungo wa Yanga, Mzimbabwe Thabani Kamusoko
Kiungo wa Yanga, Maka Edward akimuacha chini mchezaji wa Mbao FC, Ismail Ally  
Kiungo wa Yanga, Pius Buswita akimtoka mchezaji wa Mbao FC, Chitembe Babilas  
Winga wa Yanga, Geoffrey Mwashiuya akitia krosi dhidi ya wachezaji wa Mbao FC
Bejki wa Yanga, Hassan Kessy akitia krosi kwenye lango la Mbao FC
Beki wa Yanga, Gardiel Michael akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Mbao FC, Ndaki Robert
Wachezaji wa Yanga wakinyoosha misuli baada ya mechi ya jana 
Wachezaji wa Mbao FC baada ya mchezo wa jana
Hockey coach is fired for posing with man dressed as a Nazi at Halloween 
party that sparked fury
                      -
                    
Jessie Rudin, a former Bulldogs player who later joined the coaching staff, 
was seen smiling alongside the man - identified as Donnie Gardner - as he 
perfo...
17 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment