Nyota wa Manchester City, Bernando Silva wa Ureno akikabiliana na mchezaji wa Tunisia wakati wa mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Munispaa ya Braga kujiandaa na Fainali za Kombe la Dunia mwezi ujao nchini Urusi timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Ureno walitangulia kwa mabao ya Andre Silva dakika ya 22 na Joao Mario dakika ya 34, kabla ya Tunisia kusawazisha kupitia kwa Anice Badri dakika ya 39 na Fakhreddine Ben Youssef dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The final year of The Hundred as we know it?
-
The fifth edition of The Hundred will begin with big-name additions - but
private investment means there could be major changes in 2026.
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment