Mshambuliaji wa Nice, Mario Balotelli (kushoto) akishangilia kibabe baada ya kufunga baola kwanza dakika ya 21 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Saudi Arabia kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Kybunpark mjini St. Gallen hiyo ikiwa mechi yake ya kwanza kuchezea The Azzurri tangu baada ya Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2014 nchini Brazil. Bao la pili la timu ya Roberto Mancini lilifungwa na Andrea Belotti dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mark Sanchez's NFL broadcast career looks OVER after arrest for truck
driver brawl as Fox lines up Super Bowl winner to replace him
-
Sanchez, 38, was arrested in hospital on suspicion of felony battery.
Police said Sanchez was stabbed multiple times after allegedly attacking a
truck driv...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment