Mshambuliaji wa Azam FC, Iddi Kipagwile akiwachambua wachezaji wa Yanga kabla ya kupiga mpira jana katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 3-1
Beki wa Yanga SC, Gardiel Michael akimkwatua mshambuliaji wa Azam FC, Iddi kipagwile
Mshambuliaji wa Azam FC, Yahya Zaid akimtoka kiungo wa ulinzi wa Yanga, Maka Edward
Kiungo wa Azam FC, Frank Domayo akimuacha chini mshambuliaji wa Yanga, Mzambuia Obrey Chirwa
Kiungo wa Yanga, Mkongo Papy Kabamba Tshishimbi akiondoka na mpira katikati ya wachezaji wa Azam FC
Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga, Matheo Anthony
Kiungo wa Yanga, Pius Buswita akiupigia hesabu mpira mbele ya wachezaji wa Azam FC
Mshambuliaji wa Yanga, Matheo Anthony (kushoto) akimtoka beki wa Azam FC, Bruce Kangwa
Kikosi cha Azam FC kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Kikosi cha Yanga SC kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
The final year of The Hundred as we know it?
-
The fifth edition of The Hundred will begin with big-name additions - but
private investment means there could be major changes in 2026.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment