Bernardo Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili dakika za 45 na 70 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Bayern Munich kwenye mchezo wa kirafiki wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa Uwanja wa Hard Rock mjini Miami Gardens, Florida, Marekani. Bao lingine la Man City limefungwa na Lukas Nmecha dakika ya 51 wakati ya Bayern Munich yamefungwa na Meritan Shabani dakika ya 15 na Arjen Robben dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool 1-1 Chelsea - PLAYER RATINGS: Which Blues defender 'impressed' in
a brand new role? Who took 41 MINUTES to make his first touch? And which
22-year-old star must start showing more?
-
Liverpool and Chelsea played out a 1-1 draw at Anfield on Saturday. Daily
Mail Sport's KIERAN GILL runs the rule over performances in both red and
blue at ...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment