Lucas Moura akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za 28 na 44 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Roma katika mchezo Kombe la Mabingwa wa Kimataifa Uwanja wa San Diego County Credit Union mjini San Diego, California, Marekani. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Fernando Llorente dakika za tisa na 18, wakati la kufutia machozi la Roma limefungwa na Patrik Schick dakika ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Yankees fans demand Aaron Boone is fired as season hits new low and stands
of the brink of catastrophe
-
New York Yankees fans are demanding Aaron Boone is fired as season hits a
new low and stands of the brink of catastrophe following the franchise's
sweep at...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment