Kiungo Mfaransa wa Manchester United, Paul Pogba akiwa amevaa jezi namba 21 ya timu ya taifa ya Argentina, ambayo huvaliwa na mchezaji mwenzake wa zamani Juventus, Paulo Dybala. Pogba aliyeipa Ufaransa Kombe la Dunia mwezi huu nchini Urusi, michuano ambayo Argentina haikufanya vizuri amepigwa picha hiyo katika kambi ya Manchester United kujiandaa na msimu mpya mjini Los Angeles, Marekani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hodgkinson eases to victory in 800m heat
-
Great Britain's Keely Hodgkinson wins her 800m heat to ease into the
semi-finals of the women's 800m at the World Athletics Championships in
Tokyo.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment