Mwanzo > YANGA > HARUSI YA BEKI WA YANGA GARDIEL MICHAEL MBAGA KATIKA PICHA HABARI MOTOMOTO HABARI PICHA YANGA HARUSI YA BEKI WA YANGA GARDIEL MICHAEL MBAGA KATIKA PICHA Beki wa Yanga SC, Gardiel Michael Mbaga (kushoto) akiwa na mkewe katika sherehe ya harusi yao baada ya kufunga ndoa jana mjini Dar es Salaam Gardiel Michael (kushoto) akiwa na mkewe katika sherehe ya harusi yao jana Kiongozi wa Yanga, Samuel Lukumay (kulia) akimpongeza mchezaji wake. Katikati ni mchezaji mwenzake, Juma Mahadhi Samuel Lukumay akiwa na Juma Mahadhi pamoja na maharusi, Gardiel na mkewe Gardiel Michael na mkewe pamoja na ndugu na jamaa katika sherehe hiyo iliyofana Sunday, July 22, 2018 HABARI MOTOMOTO HABARI PICHA YANGA
0 comments:
Post a Comment