Mshambuliaji Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Liverpool kwa penalti dakika 28 ikiilaza Manchester United 4-1 kwenye mchezo wa kirafiki wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa usiku wa Jumamosi Uwanja wa Michigan mjini Ann Arbor, Marekani. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Daniel Sturridge dakika ya 66, Sheyi Ojo aliyejifunga dakika ya74 na Xherdan Shaqiri dakika ya 82, wakati la Man United limefungwa na Andreas Pereira dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Minnesota visits Seattle, seeks 25th victory this season
-
Minnesota Lynx (24-5, 16-2 Western Conference) at Seattle Storm (16-13, 9-7
Western Conference)
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment