Mshambuliaji Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Liverpool kwa penalti dakika 28 ikiilaza Manchester United 4-1 kwenye mchezo wa kirafiki wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa usiku wa Jumamosi Uwanja wa Michigan mjini Ann Arbor, Marekani. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Daniel Sturridge dakika ya 66, Sheyi Ojo aliyejifunga dakika ya74 na Xherdan Shaqiri dakika ya 82, wakati la Man United limefungwa na Andreas Pereira dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
US tennis legend Chris Evert slams WNBA players over wild Caitlin Clark
attacks as she calls out 'bad look'
-
Caitlin Clark was jabbed in the eye by Connecticut's Jacy Sheldon, who had
previously been caught in a heated exchange with the Fever star, before
being pu...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment