Pedro akishangilia baada ya kuifungia bao la kuongoza Chelsea dakika ya nane katika sare ya 1-1 na Inter Milan kabla ya kushinda kwa penalti 5-4 kwenye mchezo wa kirafiki wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa usiku huu Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice, Ufaransa. Roberto Gagliardini aliisawazishia Inter dakika ya 49 akitumia makosa ya Tiemoue Bakayoko kabla ya Cesar Azpilicueta kufunga penalti ya ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
US tennis legend Chris Evert slams WNBA players over wild Caitlin Clark
attacks as she calls out 'bad look'
-
Caitlin Clark was jabbed in the eye by Connecticut's Jacy Sheldon, who had
previously been caught in a heated exchange with the Fever star, before
being pu...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment