KOCHA JULIO AIBUKA TENA, AITA WACHEZAJI 52 KUUNDA KIKOSI CHA AWALI CHA NGORONGORO HEROES
KOCHA Jamhuri Mussa Kihwelo 'Julio' ameita wachezaji 52 katika kikosi cha awali cha timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20, Ngorongoro Heroes kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Sudan na mashindano ya CECAFA.
0 comments:
Post a Comment