REFA wa Tanzania, Frank Komba akiwa kwenye mazoezi viwanja vya Japoma nchini Cameroon kujiandaa na Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON). Komba ni miongoni mwa marefa walioteuliwa na CAF kuchezesha mashindano hayo yatakayoanza Januari 9, 2022.
0 comments:
Post a Comment