MABINGWA wa kombe la Mapinduzi Azam FC 
kesho watashuka katika dimba lao la Chamazi lililopo Mbagala Dar es Salaam 
kuikaribisha Simba.
echi hiyo ni mahususi kwa kuipa makali 
Simba ambayo ipo katika maandalizi ya mechi yake ya marudiano ya kombe la 
Shirikisho dhidi ya Kiyovu ya Rwanda itakayopigwa wiki ijayo jijini Dar es 
Salaam.
Katika hatua nyingine Simba iliyokuwa 
katika programu ya kufanya mazoezi ya viungo sasa imeshamaliza ambapo wameanza 
mazoezi ya uwanjani katika viwanja vya TCC Chang'ombe, jijini Dar es 
Salaam.


.png)
0 comments:
Post a Comment