Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi na
Mkurugenzi wa Clouds Media Rugemalila Mutahaba wakipeana mikono leo jijini Dar
es Salaam ikiwa ni ishara ya kupatana na kumaliza kwa tofauti zao zilizotokana
na sababu za kimuziki zilizodumu kwa muda wa miaka miwili. Huku wapatanisha wa
mgogoro huo Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Emmanuel Nchimbi
(kushoto) na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lisu (kulia) wakishuhudia.
(Picha na Anna Nkinda - Maelezo)
Mark Sanchez's NFL broadcast career looks OVER after arrest for truck
driver brawl as Fox lines up Super Bowl winner to replace him
-
Sanchez, 38, was arrested in hospital on suspicion of felony battery.
Police said Sanchez was stabbed multiple times after allegedly attacking a
truck driv...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment