Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi na
Mkurugenzi wa Clouds Media Rugemalila Mutahaba wakipeana mikono leo jijini Dar
es Salaam ikiwa ni ishara ya kupatana na kumaliza kwa tofauti zao zilizotokana
na sababu za kimuziki zilizodumu kwa muda wa miaka miwili. Huku wapatanisha wa
mgogoro huo Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Emmanuel Nchimbi
(kushoto) na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lisu (kulia) wakishuhudia.
(Picha na Anna Nkinda - Maelezo)
How Jamie Melham went from 'little fat kid' to winning the Melbourne Cup 
after battling back from white powder and Covid scandals
                      -
                    
Jamie Melham will forever be etched in Australian racing record books 
following her triumph in the Melbourne Cup on board Half Yours - but it 
could have be...
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment