Mshambuliaji wa Uholanzi Robin van Persie anayechezea Arsenal ya England, akimiliki mpira wakati wa mazoezi ya timu yake ya taifa kwenye Uwanja wa Wembley jana, tayari kwa mchezo wa leo wa kirafiki dhidi ya England kwenye Uwanja huo huo.Kumbuka huyu ndiye mfungaji bora wa mabao katika Ligi Kuu ya England inayoendelea hivi sasa. Je, England wana beki wa kumzuia Van Mabao asiwafunge?
Real Madrid make major Trent Alexander-Arnold decision ahead of his
Liverpool return in the Champions League
-
The defender is expecting a less-than warm reception when he returns to his
boyhood club for the first time since his £10million summer move to the
Spanish...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment