MKURUGENZI wa Primetime Promotions Joseph Kusaga (Kulia) akishikana mkono na Makamu Mwenyekiti wa Simba Geofrey Nyange 'Kaburu' mara baada ya kusaini mkataba wa ushirikiano katika kuratibu mchezo wa marudiano wa kombe la Shirikisho baina ya Simba na Kiyovu ya Rwanda utakaopigwa Jumamosi ya Machi 4 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Micky van de Ven runs length of the pitch to score INCREDIBLE goal for
Tottenham as Thomas Frank jokes he 'turned into Lionel Messi'
-
MATT BARLOW: Thomas Frank joked that Micky van de Ven has permission to
carry on snubbing him if it helps Tottenham's flying Dutchman transform
anger into ...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment