John Bocco wa Azam na Hussein Javu wa Mtibwa Sugar, nchi inahitaji kuwekeza kwa wachezaji hawa ili wawe washambuliaji tegemeo wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars. Hawa watu wanahitaji kulishwa vitu vya zaida ambavyo wanakosa sambamba na elimu ya kujitambua, waache ulimbukeni wa kulewa sifa, wawe na malengo ya kufika mbali, ili wajibidiishe zaidi. Ni watu ambao wanaweza kazi na kama taifa litaamua kuwekeza kweli kwa watu hawa, tutakuwa na miaka mitatu ya kushangilia mabao yao. Watu wanaweza kuufanya mpira ukae kwenye eneo la wapinzani. Wana uwezo. Tuwape nafasi na tuwape muda kabla ya kuanza kula matunda yao.
James McClean confirms he DID throw a punch at Cardiff fan...and reveals why
-
Wrexham star James McClean has confirmed he threw a punch at a Cardiff fan
in self-defence before last week's all-Wales encounter in the Carabao Cup.
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment