• HABARI MPYA

    Friday, August 02, 2013

    BAYERN MUNICH WAIFUMUA MAN CITY 2-1 FAINALI KOMBE LA AUDI, ILA BAO LA NEGREDO SHIKA ADABU YAKO WEWE!

    IMEWEKWA AGOSTI 2, 2013 SAA 1:19 ASUBUHI
    MSHAMBULIAJI Edinson Cavani anaweza kuwa mchezaji aliyekuwa akitakia mno Manchester City, lakini hawawezi kujutia kumkosa baada ya Alvaro Negredo kufunga bonge la bao Uwanja wa Allianz Arena wakati hiyo ikilala 2-1 mbele ya wenyeji Bayern Munich katika fainali ya Kombe la Audi.
    Wakati Cavani akifuata ofa ya Paris St Germain, Negredo amedhihirisha makali yake ambayo City inapaswa kujivunia kuwa na mpachika mabao huyo.
    Mabao ya mabingwa wa Ulaya yalifingwa na Muller kwa penalti dakika ya 65 na Mandzukic dakika ya 72, wakati la City lilipatikana dakika ya 61, mfungaji Negredo.
    Kikosi cha Bayern Munich kilikuwa: Neuer, Lahm (Weiser 90), Dante, Martínez, Alaba, Thiago/Mandzukic dk57, Schweinsteiger, Kroos/Rafinha dk59, Robben/Shaqiri dk57, Ribéry na Müller,
    Manchester City: Pantilimon, Zabaleta, Kompany, Boyata, Clichy, Fernandinho, Nasri, Milner, Barry/Toure dk46, Jovetic/Navas dk46, Negredo/Dzeko dk75.
    Turnaround: Mario Mandzukic (second left) heads past Costel Pantilimon to put Bayern 2-1 ahead
    Mario Mandzukic (wa pili kushoto) akimtungua Costel Pantilimon kuipa Bayern ushindi wa 2-1
    Battle: Bayern's Toni Kroos holds off a challenge from new City signing Alvaro Negredo
    Mchezaji wa Bayern, Toni Kroos akipambana na mchezaji mpya wa City, Alvaro Negredo
    On the run: Dedryck Boyata chases down Bayern Munich's French winger Franck Ribery
    Dedryck Boyata akipambana na winga Mfaransa wa Bayern Munich, Franck Ribery
    Content: Bayern Munich head coach Pep Guardiola saw his team dominate the opening exchanges
    Domo: Kocha Mkuu wa Bayern Munich, Pep Guardiola akiingalia timu yake jana
    Thwarted: Manuel Neuer was quick off his line to deny Samir Nasri
    Manuel Neuer akimdhibiti Samir Nasri
    Ahead: Alvaro Negredo celebrates giving Manchester City the lead after the hour mark
    Alvaro Negredo akishangilia kuifungia bao la kuongoza Manchester City 
    Equaliser: Thomas Muller slots home his penalty to bring Bayern Munich level
    Thomas Muller akiifungia kwa penalti Bayern Munich
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: BAYERN MUNICH WAIFUMUA MAN CITY 2-1 FAINALI KOMBE LA AUDI, ILA BAO LA NEGREDO SHIKA ADABU YAKO WEWE! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top