IMEWEKWA OKTOBA 6, 2013 SAA 12:16 ASUBUHI
MRENO Cristiano Ronaldo alipiga shuti lililobabatiza katika dakika nne ya muda wa nyongeza baada ya kutimu kwa muda wa kawaida wa mchezo na kuipa Real Madrid ushindi wa 'aina yake' katika La Liga victory dhidi ya Levante usiku wa jana.
Real ambayo ilimkosa nyota wa zamani wa Tottenham, Gareth Bale aliye majeruhi, ilipata mabao yake kupitia kwa Sergio Ramos dakika ya 61, Morata dakika ya 90 na Ronaldo dakika ya 94, wakati ya Levante yalifungwa na Diawara dakika ya 57 na El Zhar dakika ya 86
Kikosi cha Real Madrid kilikuwa: Diego Lopez, Arbeloa, Varane, Sergio Ramos, Coentrao/Marcelo dk59, Modric, Khedira, Di Maria, Isco/Morata dk69, Ronaldo na Benzema/Jese dk78.
Levante: Navas, Navarro, Rodas, Diawara/Barral dk78, Garcia/Pinto dk88, Juanfran, Xumetra/El Zhar dk68, Lopez, Ivanschitz, Diop na Simao Junior.
Shirt off: Cristiano Ronaldo shows off his physique after scoring the winning goal in the dying seconds
Lord of the dance: Ronaldo's celebration looked similar to famous dancer Michael Flatley (right). Flatley became
Scorers: Captain Sergio Ramos (above) scored Madrid's first leveller and Alvaro Morata (below) made it 2-2
Scorers: Captain Sergio Ramos (above) scored Madrid's first leveller and Alvaro Morata (below) made it 2-2