![]() |
Mfungaji wa bao pekee la Stars, Haroun Chanongo akimtoka beki wa Somalia, Mohamed Tahlil Shidane |
![]() |
Nahodha wa Somalia, Hassan Ali Roble akiteleza kuondosha mpira miguuni mwa Amri Kiemba wa Stars |
![]() |
Hassan Ali Roble akimdhibiti Erasto Nyoni wa Stars |
![]() |
Mshambuliaji wa Stars, Elias Maguri akiwatoka mabeki wa Somalia |
![]() |
Mrisho Ngassa akitafuta mbinu za kuwatoka mabeki wa Somalia |
![]() |
Beki wa Somalia akibinuka tik tak nyuma ya Elias Maguri wa Stars |
![]() |
Kiungo wa Stars, Salum Abubakar 'Sure Boy' akipambana na kiungo wa Somalia, Sidi Mohamed Omer |
![]() |
Haroun Chanongo akimpiga tobo beki wa Somalia, Aden Hussein Ibrahim |
![]() |
Ramadhani Singano 'Messi' akimtoka beki wa Somalia anayepambana hadi kuanguka chini |
![]() |
11 wa Stars walioanza leo |
![]() |
Wasomali walioitoa jasho Stars |
![]() |
Benchi la Stars wakati wa wimbo wa Taifa |
0 comments:
Post a Comment