![]()  | 
| Kocha mpya wa Azam FC, Mcameroon, Joseph Marius Omog akiongoza mazoezi ya timu hiyo asubuhi ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. | 
![]()  | 
| Beki Said Mourad akitanua kifua | 
![]()  | 
| Kiungo Salum Abubakar akipooza koo na maji ya Uhai | 
![]()  | 
| Wachezaji wakifanya mazoezi | 
![]()  | 
| Kulia Brian Umony kushoto Muamad Kone | 
![]()  | 
| Sitaki mpira kama Yanga kufungwa tatu, sitaki | 
![]()  | 
| Vijana wanapewa uwezo wa kumiliki mpira | 
![]()  | 
| Wanamiliki mpira | 
![]()  | 
| Mazoezi | 
![]()  | 
| Kocha wa akademi, Vivik Nagul alikuwepo | 
![]()  | 
| Viongozi walikuwepo | 














.png)
0 comments:
Post a Comment