![]()  | 
| Mshambuliaji tegemeo kutoka Ivory Coast, Kipre Herman Tchetche akinywa maji ya Uhai baada ya mazoezi | 
![]()  | 
| Kone akinyoosha viungo | 
![]()  | 
| Kiungo Jabir Aziz Stima akinyoosha viungo | 
![]()  | 
| Kocha wa akademi, Vivik Nagul ndiye aliongoza mazoezi leo akishirikiana na kocha Msaidizi, Kali Ongala wakati kocha Mkuu, Joseph Marius Omog raia wa Cameroon atawasili Ijumaa | 
![]()  | 
| Gaudence Mwaikimba akikokota mpira | 
![]()  | 
| Mganda Brian Umony bado yupo Chamazi | 
![]()  | 
| Kipa Mwadini Ally kushoto akidaka na kulia ni kocha wa makipa Iddi Abubakar Mwinchumu | 
![]()  | 
| Beki tegemeo, Aggrey Morris akichezea mpira | 
![]()  | 
| Kulia beki David Mwantika | 
![]()  | 
| Kone ni hatari bosi; Meneja wa Azam akizungumza na simu wakati mazoezi yakiendelea | 
![]()  | 
| Wachezaji wa kikosi cha kwanza walichanganyika na wachezaji wa akademi | 















.png)
0 comments:
Post a Comment