![]()  | 
| Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi akiwatoka wachezaji wa Simba SC katika mchezo wa Nani Mtani Jembe jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 3-1. | 
![]()  | 
| Mashabiki wa Simba SC kwa raha zao | 
![]()  | 
| Ramadhani Singano 'Messi' akimlamba chenga Kevin Yondan wa Yanga. Hapa Yondan alimchezea rafu Messi baada ya kupigwa chenga 'mbaya sana' akapewa kadi ya pili ya njano | 
![]()  | 
| Mpira nyavuni, Juma Kaseja akiwa ameruka kushoto mpira umetinga kulia mkwaju wa penalti wa Amisi Tambwe | 
![]()  | 
| Messi akimkimbiza Haruna Niyonzima wa Yanga | 
![]()  | 
| Mrisho Ngassa akipasua katikati ya wachezaji wa Simba | 
![]()  | 
| Messi akimkimbiza David Luhende. Hapa Luhende alimchezea rafu Messi ikawa penalti ambayo ilifungwa na Tambwe bao la pili | 
![]()  | 
| Haruna Niyonzima akipambana na wachezaji wa Simba | 
![]()  | 
| Okwi akilalamika kwa refa | 
![]()  | 
| Didier Kavumbangu akipambana | 
![]()  | 
| Okwi akitafuta mbinu za kumtoka Haruna Shamte | 
![]()  | 
| Frank Domayo ameanguka chini huku Jonas Mkude anaondoka na mpira | 
![]()  | 
| Zahor Pazi anaambaa na mpira beki wa Yanga anagaagaa chini | 
![]()  | 
| Kipa wa Simba SC, Ivo Mapunda akiugulia maumivu baada ya kuumizwa katika kona na wachezaji wa Yanga | 
![]()  | 
| Awadh Juma kulia akipiga kichwa pembeni ya David Luhende | 
![]()  | 
| Mrisho Ngassa akimtoka Donald Mosoti wa Simba SC | 
![]()  | 
| Haroun Chanongo wa Simba kushoto na Frank Domayo wa Yanga kulia | 
![]()  | 
| Awadh Juma akimiliki mpira mbele ya David Luhende | 
![]()  | 
| Kikosi cha Yanga leo | 
![]()  | 
| Kikosi cha Simba leo | 
![]()  | 
| Mashabiki wa Simba SC kwa raha zao | 
![]()  | 
| Mashabiki wa Yanga huruma leo | 
![]()  | 
| Kipenzi cha wana Simba, Zacharia Hans Poppe akifurahia baada ya mechi | 

























.png)
0 comments:
Post a Comment