• HABARI MPYA

    Friday, January 17, 2014

    MESSI AIPIGIA MABAO YOTE BARCA IKISHINDA 2-0 KOMBE LA MFALME, LAKINI NEYMAR AUMIA NA HUENDA AKAWAKOSA MAN CITY LIGI YA MABINGWA

    MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Neymar ameumia kifundo cha mguu akiichezea timu yake mechi ya Copa del Rey ikishinda 2-0 jana dhidi ya Getafe katika mechi ya Kombe la Mfalme.
    Sasa Mbrazil huyo anaweza kuukosa mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Manchester City mwezi ujao.
    Lionel Messi alifunga mabao yote katika mechi hiyo ya marudiano ya 16 Bora na kufanya ushindi wa jumla wa 6-0. 
    Barça itasafiri hadi Etihad Februari 18 katika mchezo wa kwanza wa hatua ya mtoano Ligi ya Mabingwa na Mbrazil, Neymar huenda akawa bado anauguza maumivu ya kifundo cha mguu wa kulia. 
    Messi alifunga mabao yote mawili ya Barca jana Kombe la Mfalme
    Agony: Neymar sprained his peroneal tendon in his right ankle and had to be carried off
    Maumivu: Neymar alivyoumia jana na kutolewa nje
    Injury blow: Neymar had to be carried off by Barcelona's medical staff as Barca won 2-0
    Neymar akiondolewa uwanjani na madaktari wa timu
    Sent flying: Neymar is upended after a hefty challenge from Getafe defender Alexis Ruano
    Neymar aliumia baada ya kupewa pigo na beki wa Getafe, Alexis Ruano
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MESSI AIPIGIA MABAO YOTE BARCA IKISHINDA 2-0 KOMBE LA MFALME, LAKINI NEYMAR AUMIA NA HUENDA AKAWAKOSA MAN CITY LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top