Na Prince Akbar, Dar es Salaam
MSAFARA wa zaidi ya watu 32 wa Yanga SC unatarajiwa kuondoka kesho alfajiri kwenda Uturuki kwa kambi ya wiki mbili, kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara pamoja na Ligi ya Mabingwa Afrika.
Yanga wanatarajiwa kupata viza zao jioni ya leo na kesho watapanda ndege ya Uturuki (Turkish Airline) kwenda kwenye kambi ya mafunzo katika nchi hiyo ya Ulaya kwa mara ya pili mfululizo.
MSAFARA wa zaidi ya watu 32 wa Yanga SC unatarajiwa kuondoka kesho alfajiri kwenda Uturuki kwa kambi ya wiki mbili, kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara pamoja na Ligi ya Mabingwa Afrika.
Yanga wanatarajiwa kupata viza zao jioni ya leo na kesho watapanda ndege ya Uturuki (Turkish Airline) kwenda kwenye kambi ya mafunzo katika nchi hiyo ya Ulaya kwa mara ya pili mfululizo.
Matunda ya Uturuki: Yanga SC ilitwaa ubingwa mwaka jana baada ya ziara ya Uturuki, je na mwaka huu itakuwa na manufaa?
MSAFARA WA YANGA SC UTURUKI:
1. Juma Kaseja
2. Deo Munishi ‘Dida’
3. Ally Mustafa ‘Barthez’
4. David Luhende
5. Oscar Joshua
6. Juma Abdul
7. Mbuyu Twite
8. Nadir Haroub ‘Cannavaro’
9. Kevin Yondan
10. Job Ibrahim
11. Rajab Zahir
12. Hassan Dilunga
13. Frank Domayo
14. Hamisi Thabit
15. Bakari Masoud
16. Haruna Niyonzima
17. Nizar Khalfan
18. Jerry Tegete
19. Hamisi Kiiza
20. Emmanuel Okwi
21. Mrisho Ngassa
22. Said Bahanuzi
23. Shaaban Kondo
24. Didier Kavumbangu
25. Simon Msuva
26. Reliant Lusajo
27. Hussein Javu
28. Charles Boniface Mkwasa (Kocha)
29. Juma Pondamali (Kocha)
30. Juma Sufiani (Kocha)
31. Hafidh Saleh (Meneja)
32. Baraka Kizuguto (Ofisa Habari).
2. Deo Munishi ‘Dida’
3. Ally Mustafa ‘Barthez’
4. David Luhende
5. Oscar Joshua
6. Juma Abdul
7. Mbuyu Twite
8. Nadir Haroub ‘Cannavaro’
9. Kevin Yondan
10. Job Ibrahim
11. Rajab Zahir
12. Hassan Dilunga
13. Frank Domayo
14. Hamisi Thabit
15. Bakari Masoud
16. Haruna Niyonzima
17. Nizar Khalfan
18. Jerry Tegete
19. Hamisi Kiiza
20. Emmanuel Okwi
21. Mrisho Ngassa
22. Said Bahanuzi
23. Shaaban Kondo
24. Didier Kavumbangu
25. Simon Msuva
26. Reliant Lusajo
27. Hussein Javu
28. Charles Boniface Mkwasa (Kocha)
29. Juma Pondamali (Kocha)
30. Juma Sufiani (Kocha)
31. Hafidh Saleh (Meneja)
32. Baraka Kizuguto (Ofisa Habari).
Wachezaji wanaotarajiwa kuondoka na timu hiyo kesho ni makipa; Juma Kaseja, Deo Munishi ‘Dida’ na Ally Mustafa ‘Barthez’, mabeki David Luhende, Oscar Joshua, Juma Abdul, Mbuyu Twite, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Kevin Yondan, Job Ibrahim na Rajab Zahir.
Viungo ni Hassan Dilunga, Bakari Masoud, Hamisi Thabit, Frank Domayo, Haruna Niyonzima, Nizar Khalfan, wakati washambuliaji ni Jerry Tegete, Hamisi Kiiza, Emmanuel Okwi, Mrisho Ngassa, Said Bahanuzi, Shaaban Kondo, Didier Kavumbangu, Simon Msuva, Reliant Lusajo na Hussein Javu.
Viongozi ni makocha Charles Boniface Mkwasa na Juma Pondamali, Daktari Juma Sufiani, Meneja Hafidh Saleh na Ofisa Habari, Baraka Kizuguto.
Kunaweza kukawa na watu wengine katika msafara huo kutoka kwenye uongozi, lakini bado haijajulikana ni akina nani.
Wachezaji ambao wameachwa ni Athumani Iddi ‘Chuji’ aliyesimamishwa kwa utovu wa nidhamu, Salum Abdul Telela ambaye ni majeruhi na wachezaji waliopandishwa kutoka timu ya vijana, Issa Ngao, Yussuf Abdul na Abdallah Mguhi ‘Messi’.
Viungo ni Hassan Dilunga, Bakari Masoud, Hamisi Thabit, Frank Domayo, Haruna Niyonzima, Nizar Khalfan, wakati washambuliaji ni Jerry Tegete, Hamisi Kiiza, Emmanuel Okwi, Mrisho Ngassa, Said Bahanuzi, Shaaban Kondo, Didier Kavumbangu, Simon Msuva, Reliant Lusajo na Hussein Javu.
Viongozi ni makocha Charles Boniface Mkwasa na Juma Pondamali, Daktari Juma Sufiani, Meneja Hafidh Saleh na Ofisa Habari, Baraka Kizuguto.
Kunaweza kukawa na watu wengine katika msafara huo kutoka kwenye uongozi, lakini bado haijajulikana ni akina nani.
Wachezaji ambao wameachwa ni Athumani Iddi ‘Chuji’ aliyesimamishwa kwa utovu wa nidhamu, Salum Abdul Telela ambaye ni majeruhi na wachezaji waliopandishwa kutoka timu ya vijana, Issa Ngao, Yussuf Abdul na Abdallah Mguhi ‘Messi’.



.png)
0 comments:
Post a Comment