• HABARI MPYA

    Tuesday, July 15, 2014

    MABINGWA WA DUNIA UJERUMANI WALIVYOPOKEWA KIFALME LEO NYUMBANI

    Mapokezi ya mabingwa: Wachezaji wa Ujerumani Schweinsteiger, Mertesacker, Neuer, Grosskreutz na Podolski wakiwaonyesha Kombe la Dunia mashabiki wakati wa mapokenzi leo baada ya kuwasili mjini Berlin kutoka Brazil. Ujerumani iliifunga 1-0 Argentina katika Fainali Jumapili.
    Fans greet the Germany team
    All ready to board? The players are whisked on to a team bus, that includes '2014!' to mark their achievement in South America
    Basi la Ujerumani likiwa limeandikwa miaka ambayo walitwaa Kombe la Dunia
    Give us a wave! Mesut Ozil (left to right), Ron-Robert Zieler, Erik Durm, Mats Hummels, Shkodran Mustafi and Roman Weidenfeller engage with the fans
    Mesut Ozil (wa pili kushoto), Ron-Robert Zieler, Erik Durm, Mats Hummels, Shkodran Mustafi na Roman Weidenfeller wakipungia mashabiki
    Get the beers open! Ozil, Benedikt Hoewedes and Per Mertesacker on the truck
    Ozil, Benedikt Hoewedes na Per Mertesacker kwenye gari
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MABINGWA WA DUNIA UJERUMANI WALIVYOPOKEWA KIFALME LEO NYUMBANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top