• HABARI MPYA

    Saturday, July 05, 2014

    NEYMAR AKIMBIZWA HOSPITALI BAADA YA KUCHEZEWA RAFU MBAYA NA ZUNIGA

    HUKU Brazil ikisherehekea ushindi wa 2-1 dhidi ya Colombia usiku wa Ijumaa na kiting Nusu Fainali ya Kombe la Dunia, lakini ilipata pigo baada ya mshambuliaji tegemeo, Neymar kuumia na kukimbizwa hospitali.
    Nyota huyo wa Barcelona alitolewa née Uwanja wa Fortaleza zikiwa zimesalia dakika tatu na kukimbizwa hospitali baada ya mechi.
    Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 sasa yuko shakani kuichezea Brazil katika Nusu Fainali dhidi ya Ujerumani Jumanne.
    Anatolea nje: Neymar akiwa amebebwa kwenye machela kutolewa née kabla ya kukimbizwa hospitali baada ya mechi
    none
    Cynical: With the ball nowhere near Camilo Zuniga smashes his knee into the lower part of Neymar's back
    Rafu iliyomuumiza; Hakuwa na mpira wakati anapigwa kwa goti mgongoni na Camilo Zuniga 
    Man down: The Barcelona forward falls to the ground after the challenge that leaves him a doubt for the semi
    Akaenda chini kama mzaha
    Worry: The challenge left Neymar writhing on the ground and a doubt for the remainder of the tournament
    Akashika eneo la mgongoni alilopigwa
    Complaints: Defender Marcelo gesticulates as his team's star man lies prone on the ground in Fortaleza
    Beki Marcelo anamuombea msaada baada ya kugundua ameumia kweli
    Treatment: Neymar was seen to on the pitch but had to be removed on a stretcher in the quarter-final
    Anapatiwa huduma ya kwanza uwanjani
    Concern: Colombian playmaker James Rodrigues shows sympathy to his opposite number
    Nyota wa Colombia, James Rodriguez anamkaribia Neymar kumtaka ainuke kutoka nje mchezo uendelee kuokoa muda wajaribu kusawazisha bao, wakati huo tayari Brazil inaongoza 2-1.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NEYMAR AKIMBIZWA HOSPITALI BAADA YA KUCHEZEWA RAFU MBAYA NA ZUNIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top