Taulant Xhaka wa Basle (kushoto) akipambana na winga wa Porto, Yacine Brahimi katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya uliofanyika Uwanja wa Jacob Park usiku huu. Timu hizo zilitoka 1-1, Derlis Gonzalez akianza kuifungia Basle kabla ya Danilo kuisawazishia Porto kwa penalti baada ya Walter Samuel kuunawa mpira kwenye enero la hatari.
A cultural revolution? Trump’s America feels oddly familiar to those
watching from China
-
Demands of absolute loyalty and attacks on institutions have raise memories
of Mao-style chaos from US watchers in China
39 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment