YANGA SC WATUA SALAMA GABORONE, WAFIKIA OASIS HOTEL
Kocha Msaidizi wa Yanga SC, Charles Boniface Mkwasa (kulia) akiwa na wachezaji wake eneo la mapokezi katika hoyeli ya Oasis mjini Gaborone, Botswana mchana wa leo baada ya kuwasili kwa ajili ya mchezo wa marudiano, Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho Afrika (CAF) utakaofanyika keshokutwa nchini humo. Yanga SC ilishinda 2-0 katika mchezo wa kwanza mjini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment