Mshambuliaji wa mkopo West Ham, Mnigeria Victor Moses akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia timu hiyo katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Manchester City usiku wa leo Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la West Ham limefungwa na Diafra Sakho wakati la Man City limefungwa na Kevin De Bruyne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brooke Hogan claims late father Hulk feared marrying his wife Sky over
Scientology links
-
In an interview where Brooke fought tears, she said: 'She's (Sky) nice, and
she's cool (at the beginning), and, you know, I don't really want to go
into to...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment