Kiungo mshambuliaji wa Chelsea, Willian Borges Da Silva (kushoto) akishangilia baada ya kufunga dhidi ya Manchester City dakika ya 48 katika mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England Uwanja wa Stamford Bridge, London leo. Mabao mengine ya Chelsea inayotinga Robo fainali kwa matokeo hayo yamefungwa na Diego Da Silva Costa dakika ya 35, Gary Cahill dakika ya 53, Eden Hazard dakika ya 67 na Bertrand Traore dakika ya 89, huku la Man City likifungwa na David Faupala dakika ya 37 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Star NFL rookie reveals surprising way he plans to spend his
record-breaking $53m first contract
-
The highly-rated Love was selected No. 3 overall by the Cardinals out of
Notre Dame in last month's NFL Draft and on Friday he formally signed his
four-yea...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment