Mshambuliaji wa Crystal Palace, Emmanuel Adebayor akimuacha chini kiungo wa timu yake ya zamani, Tottenham Hotspur, Mousa Dembele katika mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England leo Uwanja wa White Hart Lane. Palace imeshinda 1-0, bao pekee la Martin Kelly na sasa wanaingia Robo Fainali ya michuano hiyo ya Chama cha Soka England, huku safari ya Spurs ikiishia hapo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rory McIlroy breaks his silence on LIV Golf's bold new plan for 2026 as he
reveals why he isn't convinced by the move
-
Rory McIlroy says he isn't convinced by LIV Golf's surprising decision to
move to a more traditional 72-hole format at its tournaments in 2026.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment