Mshambuliaji wa Crystal Palace, Emmanuel Adebayor akimuacha chini kiungo wa timu yake ya zamani, Tottenham Hotspur, Mousa Dembele katika mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England leo Uwanja wa White Hart Lane. Palace imeshinda 1-0, bao pekee la Martin Kelly na sasa wanaingia Robo Fainali ya michuano hiyo ya Chama cha Soka England, huku safari ya Spurs ikiishia hapo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CCTV appeal after man stabbed in suspected robbery
-
A 40-year-old man was seriously injured and taken to hospital following the
attack on Thursday night.
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment