Kikosi cha Manchester City kilichoifunga mabao 3-1 Dynamo Kiev katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana mjini Kiev. Mabao ya City yalifungwa na Sergio-Aguero, David-Silva na Yaya Toure, wakati la Dynamo lilifungwa na Vitaliy Buyalskiy PICHA ZAIDI GONGA HAPA
You know who loves the Epstein scandal? President-in-waiting JD Vance. |
Opinion
-
As the Jeffrey Epstein scandal engulfs President Donald Trump, I suspect
president-in-waiting JD Vance is secretly smiling.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment