Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kuongoza dakika ya 33 katika sare ya 1-1 na wenyeji Malaga leo Uwanja wa La Rosaledan katika mchezo wa La Liga. Bao la Malaga limefungwa na Raul Albentosa dakika ya 66, wakati Ronaldo alikosa penalti katika mchezo huo ni kuinyima Real ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cristiano Ronaldo opens up on how his daughters convinced him to propose to 
fiancee Georgina Rodriguez - with £1.5m ring - as he reveals details of 
'not romantic' proposal for the first time
                      -
                    
The superstar couple sent supporters wild back in August when they 
announced their engagement after some nine years together.
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment