Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kuongoza dakika ya 33 katika sare ya 1-1 na wenyeji Malaga leo Uwanja wa La Rosaledan katika mchezo wa La Liga. Bao la Malaga limefungwa na Raul Albentosa dakika ya 66, wakati Ronaldo alikosa penalti katika mchezo huo ni kuinyima Real ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Pickford reveals the unusual sport he would 'love' to take part in
but is BANNED from due to his footballing career
-
Pickford remains a regular at club level for Everton, where he has played
every Premier League game this season. He has one eye on the summer,
however, whe...
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment