Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kuongoza dakika ya 33 katika sare ya 1-1 na wenyeji Malaga leo Uwanja wa La Rosaledan katika mchezo wa La Liga. Bao la Malaga limefungwa na Raul Albentosa dakika ya 66, wakati Ronaldo alikosa penalti katika mchezo huo ni kuinyima Real ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Star NFL rookie reveals surprising way he plans to spend his
record-breaking $53m first contract
-
The highly-rated Love was selected No. 3 overall by the Cardinals out of
Notre Dame in last month's NFL Draft and on Friday he formally signed his
four-yea...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment