Mshambuliaji kinda wa miaka 18 wa Manchester United, Marcus Rashford akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika aa 29 na 32 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Bao lingine la Mashetani Wekundu limefungwa na Ander Herrera dakika ya 65, wakati ya Washika Bundukin wa London yamefungwa na Danny Welbeck dakika ya 40 na Mesut Ozil dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
US tennis legend Chris Evert slams WNBA players over wild Caitlin Clark
attacks as she calls out 'bad look'
-
Caitlin Clark was jabbed in the eye by Connecticut's Jacy Sheldon, who had
previously been caught in a heated exchange with the Fever star, before
being pu...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment