Kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas akishangiliapu baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha katika sare ya 2-2 na West Ham kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea lilifungwa na Fabregas pia wakati ya West Ham yamefungwa Manuel Lanzini na Andy Carroll PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Scotland's papers: 'BBC bosses quit in disgrace' and high tax 'threat'
-
A review of the front page stories from the daily newspapers in Scotland.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment