Kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas akishangiliapu baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha katika sare ya 2-2 na West Ham kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea lilifungwa na Fabregas pia wakati ya West Ham yamefungwa Manuel Lanzini na Andy Carroll PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kansas City Chiefs sign wide receiver Hal Presley, who was ditched by the
Buffalo Bills
-
The Baylor product took part in rookie minicamp in Buffalo but the Bills
released him around two weeks later. Now, he is heading to Kansas City.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment