Kikosi cha Yanga kilichosukwa vizuri mwaka 1994, kutoka kushoto waliosimama ni Salum Kabunda 'Ninja', Constantine Kimanda, Steven Casmir Nemes, Kenneth Mkapa na Suleiman Mkati. Waliochuchumaa kutoka kushoto ni Nico Bambaga (marehemu), Sekilojo Chambua, Edibily Lunyamila, James Tungaraza 'Boli Zozo' (marehemu) na Said Nassor Mwamba 'Kizota' (marehemu). Yanga hii ilifungwa 4-1 na watani, SImba na mwisho wa msimu wachezaji karibu wote wakafukuzwa, timu ikaundwa upya kwa kupandisha wachezaji wa timu B, maarufu kama B;ack Star walioandaliwa na kocha Tambwe Leya (sasa marehemu) na kuibua nyota walioiwika baadaye wakiwemo Nonda Shabani aliyecheza hadi Ulaya
Russell Wilson hit by Jets setback as quarterback tries to find new team
for 2026 season
-
New York already signed quarterback Geno Smith, a former Jets starter who
went on to back up Wilson in Seattle, but head coach Aaron Glenn appeared
to have...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment