Mshambuliaji Sadio Mane akipongezwa na wachezaji wenzake wa Southampton baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa St Mary's, wakitoka nyuma kwa mabao 2-0. Bao lingine la Southampton limefungwa na Graziano Pelle, wakati mabao ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho na Daniel Sturridge PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy world mourns AFL Hall of Fame star Barrie Robran after news of his
death caused a dramatic moment on live radio
-
Barrie Robran has been praised as the greatest footballer to ever come out
of South Australia after news of his death broke - and resulted in a
shocking mo...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment