Mshambuliaji Sadio Mane akipongezwa na wachezaji wenzake wa Southampton baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa St Mary's, wakitoka nyuma kwa mabao 2-0. Bao lingine la Southampton limefungwa na Graziano Pelle, wakati mabao ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho na Daniel Sturridge PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sports icon blasts Gavin Newsom as biological male prepares to compete in
girls track and field event in California
-
The 18-time Grand Slam champion's fury comes as a biological male athlete,
representing Jurupa Valley High School, prepares to compete in the girls'
track ...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment