Mshambuliaji Sadio Mane akipongezwa na wachezaji wenzake wa Southampton baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa St Mary's, wakitoka nyuma kwa mabao 2-0. Bao lingine la Southampton limefungwa na Graziano Pelle, wakati mabao ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho na Daniel Sturridge PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL falls silent for Marshawn Kneeland as teams pay emotional tributes to
Cowboys star after shock death at 24
-
Kneeland was found dead with a self-inflicted gunshot wound after fleeing
Texas State troopers when they attempted to stop him for a traffic
violation.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment