Emre Can akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao pekee dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Watford usiku huu Uwanja wa Vicarage Road kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Ushindi huo unairudisha Liverpool nafasi ya tatu ikifikisha pointi 69 na kuishushia nafasi ya nne, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Legendary MLB manager and Hall of Famer Bobby Cox dead at 84 as tributes
pour in
-
His death comes as a devastating second blow to the franchise in less than
a week, following the recent passing of legendary former owner Ted Turner.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment