Emre Can akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao pekee dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Watford usiku huu Uwanja wa Vicarage Road kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Ushindi huo unairudisha Liverpool nafasi ya tatu ikifikisha pointi 69 na kuishushia nafasi ya nne, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New Rangers dawn as far away as ever in European Groundhog Day
-
Rangers' resurrection under new regime still feels a pipe dream after
latest European defeat, writes BBC Scotland's Scott Mullen.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment