KWELI NI MPIRA WA MIGUU, LAKINI SI KWA MATEKE HAYA!
Wachezaji wa Azam FC, beki Mghana Daniel Amoah (kulia) na kiungo Mcameroon Stephan Kingue (kushoto) walijikuta wakichezeana rafu wenyewe juzi Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam katika harakati za kumdhibiti kiungo wa Simba, Muzamil Yassin (katikati) katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), au Azam Sports Federation Cup (ASFC). Simba ilishinda 1-0
Wachezaji wa kigeni wa Azam wanapeana maumivu huku kiungo wa Simba akijitoa
Tukio lilianzia hapa, wakati Muzamil Yassin anajivuta kupiga mpira
Baadaye, aliyeonekana kuugulia zaidi maumivu ni Kingue
Juve target Man Utd's Sancho - Saturday's gossip
-
Juventus eye Manchester United winger Jadon Sancho, Crystal Palace defender
Marc Guehi makes Liverpool stance clear, PSG told fee for Illia Zabarnyi by
Bou...
The top 10 sharpshooters in the 2025 NBA Draft
-
No matter the style, the ability to shoot is the most important skill in
the NBA. Here are 10 prospects to watch, each with a different way to bend
the floor.
0 comments:
Post a Comment