Mratibu wa mashindano ya SportPesa Super Cup yanayotarajiwa kuanza Juni 5, Dar es Salaam, Teddy Mapunda akitoa semina elekezi kwa Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali nchini kuelekea michuano hiyo inayofanyika kwa mara ya kwanza nchini ikishirikisha na timu za Kenya pia
Teddy Mapunda alikuwa akielezea namna mashindano hayo yatakavyokuwa
Mtangazaji wa Redio Clouds, Shaffih Dauda akisikiliza kwa makini somo la Teddy Mapunda
Mwandishi mkongwe, Majuto Omary (katikati) akiuliza swali katika semina hiyo
Mtendaji Mkuu wa Bin Zubeiry Sports - Online, Mahmoud Zubeiry (kulia) alikuwepo pia








.png)
0 comments:
Post a Comment