Wachezaji wa Juventus wakishangilia na taji lao la Coppa Italia walilolitwaa kwa mara ya nne mfululizo usiku wa Jumatano baada ya kuifunga AC Milan mabao 4-0 Uwanja wa Olimpico mjini Roma, Medhi Benatia akifunga mabao mawili dakika za 56 na 64, mengine Douglas Costa dakika ya 61 na Nikola Kalinic aliyejifunga dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
British and Irish Lions suffer major injury scare as Luke Cowan-Dickie
leaves field in a neck brace after nasty blow to the head against AUNZ side
-
The British and Irish Lions' emphatic 48-0 win over an Invitational
Australia and New Zealand XV on Saturday was overshadowed by a worrying
injury to hooke...
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment