Edison Flores na Victor Yotun wakishangilia baada ya wote kuifungia Peru katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Chile kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Copa America usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Arena do Gremio, Porto Alegre, Rio Grande do Sul nchini Brazil. Bao lingine lilifungwa na Paolo Guerrero na kwa ushindi huo, Peru itakutana na Brazil kwenye fainali Jumapili wakati Chile itawania nafasi ya tatu dhidi ya Argentina PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham 1-1 Wolves: Joao Palhinha rescues Spurs with injury time
equaliser after flat display - as Vitor Pereira's side pick up first point
of season
-
MATT BARLOW AT THE TOTTENHAM HOTSPUR STADIUM: Tottenham have not beaten
Wolves in six meetings although this equaliser came so late it tasted like
victory.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment