Wachezaji wa Chelsea wakipongezana kwa ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The Amex. Mabao ya The Blues yalifungwa na Jorginho kwa penalti dakika ya 23, Reece James dakika ya 56 na Kurt Zouma dakika ya 66, wakati la Brighton lilifungwa na Leandro Trossard dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Namewee to be remanded over Taiwanese influencer Iris Hsieh’s death; Taiwan
seizes US$150m, detains 25 in Prince Group scam probe: SIngapore live news
-
Namewee wanted in Taiwan influencer Iris Hsieh’s death reclassified murder.
Taiwan seizes US$150 million Prince Group assets, 25 held in scam probe
tied to...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment