Mshambuliaji Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Ubelgiji mabao mawili dakika za 17 na 69 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Iceland kwenye mchezo wa Kundi la Pili Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Stade Roi Baudouin Jijini Brussels. Mabao mengne ya Ubelgiji yamefungwa na Axel Witsel dakika ya 13, Dries Mertens dakika ya 50 na Jeremy Doku dakika ya 79, wakati la Iceland lilifungwa na Holmbert Fridjonsson dakika ya 10 PCHA ZAD GONGA HAPA
Namewee to be remanded over Taiwanese influencer Iris Hsieh’s death; Taiwan
seizes US$150m, detains 25 in Prince Group scam probe: SIngapore live news
-
Namewee wanted in Taiwan influencer Iris Hsieh’s death reclassified murder.
Taiwan seizes US$150 million Prince Group assets, 25 held in scam probe
tied to...
33 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment