Mshambuliaji Olivier Giroud akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Ufaransa bao la nne dakika ya 77 kwa penalti hilo likiwa bao lake la 40 timu yake ya taifa katika ushindi wa Ufaransa wa 4-2 dhidi ya Croatia usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi la Tatu Ligi ya Mataifa Ulaya Uwanja wa Stade de France Jijini Paris. Mabao mengne ya Ufaransa yamefungwa na Antoine Griezmann dakika ya 43, Dominik Livakovic dakika ya 45, Dayot Upamecano dakika ya 65, wakati ya Croatia yamefungwa na Dejan Lovren dakika ya 16 na Josip Brekalo dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool 1-1 Chelsea - PLAYER RATINGS: Which Blues defender 'impressed' in
a brand new role? Who took 41 MINUTES to make his first touch? And which
22-year-old star must start showing more?
-
Liverpool and Chelsea played out a 1-1 draw at Anfield on Saturday. Daily
Mail Sport's KIERAN GILL runs the rule over performances in both red and
blue at ...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment