PSG WAANZA VIBAYA LIGUE 1 BAADA YA KUPIGWA 1-0 NA LENS
Wachezaji wa Racing Club de Lens wakipongezana baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya mabingwa watetezi, Paris Saint-Germain kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa bao pekee la mshambuliaji Mcameroon, Ignatius Kpene Ganago dakika ya 57 Uwanja wa Bollaert-Delelis Jijini Lens. PSG iliyokuwa inacheza mechi yake ya kwanza ya msimu mpya, iliwakosa nyota wake wote, Neymar, Kylian Mbappe na Angel Di Maria PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Joshua’s fight in Nigeria pegged for 2026
-
Former world boxing heavyweight champion, Anthony Joshua’s career-long
dream to host a match in Nigeria is closer to reality as boxing promoter
Ezekiel A...
0 comments:
Post a Comment